Man utd wakubaliana na Borussia Dortmund
Man utd wamefikia makubaliano na Klabu ya Ujerumani Borussia Dortmund kuhusiana usajili wa mshambuliaji Robert Lewandowski.
Habari zaidi zasema ya kuwa United wamekubali kutoa paundi mill 16 kwa ajili ya mshambuliaji huyo na ukamilisho wa kumuhamisha mchezaji huyo utakamilika baada ya mashindano ya UERO.
Mchezaji huyo inasemekana atakuwa akipokea mshahara wa paundi 70,000 kwa wiki.
Mchezaji huyo toka Poland atajiunga na mchezaji mwenzake aliyekuwa nae Dortmund Shinji Kagawa. Kagawa amejiunga na United kwa ada ya paundi mill 16.
Chanzo: Caughtoffside
Posted on June 10, 2012, in Mpira, Mpira kwa Dakika, Tetesi and tagged Borussia Dortmund, Lewandowski, man utd, shinji kagawa. Bookmark the permalink. Leave a comment.
Leave a comment
Comments 0